Ali Akbar Salehi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akihutubia katika ufunguzi wa kikao hicho na kusisitiza juu ya nafasi muhimu iliyokua nayo Jumuiya ya NAM katika kutatua migogoro ya kisiasa na kiuchumi na kuzikurubisha pamoja nchi wanachama. Kikao cha Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na upande Wowote wa Siasa NAM kinamalizika kesho na kupisha kikao cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa jumuiya hiyo kabla ya kilele cha mkutano huo cha wakuu wa jumuiya hiyo kitakachofanyika katika siku ya Akhamisi na Ijumaa.
Habari za kikao cha 16 cha Viongozi wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana Tehran-2012
Mkutano wa NAM kuanza Tehran
25 Agosti 2012 - 19:30
Msimbo wa Habari: 339850
Kikao cha wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na upande Wowote wa Siasa NAM kimeanza leoTehran, Wanachama hao kutoka zaidi ya nchi 120 za kimataifa watashiriki katika kikao hicho.